Anaeleza Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kuhusu mambo mawili nayo muislamu basi ataingia Peponi, La kwanza: Kuhifadhi ulimi kutozungumza yale yenye kumchukiza Allah Mtukufu, La pili: Kuhifadhi tupu kutotumbukia katika machafu; Kwa sababu viungo viwili hivi hukithiri kutokea maasi kwavyo.