explain-icon

Ufafanuzi

Anaweka wazi Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kuwa kafiri anaposilimu hulipwa kwa mema aliyokuwa akiyafanya kabla ya kusilimu miongoni mwa sadaka au kuacha huru mtumwa au kuunganisha udugu.

explain-icon

Katika Faida za Hadithi

  • Kwa hakika mema aliyofanya kafiri hapa Duniani, hatolipwa kule Akhera, ikiwa atakufa akiwa kwenye ukafiri wake.