explain-icon

Ufafanuzi

Amefahamisha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kuwa Kiyama hakitasimama mpaka Waislamu watakapopigana na Mayahudi, Mpaka atakapo kimbia Myahudi nyuma ya mawe ili ajifiche waislamu wasimuone; Mwenyezi Mungu atalitamkisha jiwe na litamuita Muislamu: Na kumwambia kuwa Myahudi yupo nyuma yake mpaka aje na amuuwe.

explain-icon

Katika Faida za Hadithi

  • Kutoa habari -Mtume Rehema na amani ziwe juu yake-ya baadhi ya mambo yaliyofichikana na yatakayotokea baadaye, kwa namna ambayo Mwenyezi Mungu alivyomuonesha, na mambo hayo yatatokea kwa lazima.
  • Waislamu kupigana na Mayahudi katika zama za mwisho, na tukio hilo ni katika alama za Kiyama.
  • Kubakia kwa Dini ya Uislamu mpaka siku ya Kiyama, na itazishinda dini zote.
  • Nusura ya Mwenyezi Mungu kwa waislamu dhidi ya maadui zao, na katika hilo la kuwashinda ameyafanya mawe yaongee katika siku za mwisho.