explain-icon

Ufafanuzi

Ametahadharisha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kutomuingizia madhara muislamu, au kumtia tabu katika jambo lolote katika mambo yake; Yeye mwenyewe au mali yake au familia yake, nakuwa atakayefanya hivyo basi Mwenyezi Mungu atamlipa na atamuadhibu kwa jinsi alivyomfanyia mwenzake.

explain-icon

Katika Faida za Hadithi

  • Uharamu wa kumdhuru muislamu na kumtia tabu.
  • Allah huwalipizia kisasi waja wake.