explain-icon

Ufafanuzi

Amekataza Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kunyoa baadhi ya nywele za kichwa na kuacha baadhi. Na katazo linawahusu watu wote, mwanaume mtoto mdogo na mkubwa pia, ama mwanamke hatakiwi kunyoa nywele za kichwa chake.

explain-icon

Katika Faida za Hadithi

  • Sheria ya Uislamu imetilia umuhimu wa muonekano wa kibinadamu.