logo
  • Nyumbani
  • Upangiliaji mkuu arrow

    Upangiliaji mkuu

    • Qur'an tukufu na Elimu zake
    • Hadithi na Elimu zake
    • Akida- Itikadi-
    • Fiq'hi na misingi yake.
    • Mambo mazuri na Adabu- Heshima.
    • Daa'awa na(kujitolea) kuamrisha mema nakukataza mabaya
    • Historia na Taarekh.
  • Kuhusu mradi
  • portal_of_developers
  • Wasiliana Nasi mail
Wasiliana Nasi mail
earth Kiswahili arrow

choose_language

share_hadeeth

available_translations:

  1. Nyumbani
  2. Qur'an tukufu na Elimu zake
  3. Pekuziza Qu'an kiujumla.
  4. Hukumu za Qur'an na Misahafu.
  5. Hadithi
Kutoka kwa Ally radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akitusomesha Qur'ani katika kila hali madamu hana janaba. Ni nzuri (Hasan) - Imepokelewa na Abu Daud, Tirmidhiy, Nasai, Ibn Majah na Ahmad
  • earth
  • العربية
  • English
  • português
  • Русский
  • اردو
  • বাংলা
  • choose_language

    • ไทย
    • සිංහල
    • Tiếng Việt
    • മലയാളം
    • हिन्दी
    • Hausa
    • Türkçe
    • Bahasa Indonesia
    • Wikang Tagalog
    • తెలుగు
    • Kurdî
    • Nederlands
    • ગુજરાતી
    • অসমীয়া
    • Српски
    • فارسی دری
explain-icon

Ufafanuzi

Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akiwafundisha Maswahaba zake Qur'ani na akiwasomesha yeye mwenyewe katika hali zote madam hajawa katika hali ya janaba litokanalo na tendo la ndoa kwa wakeze.

explain-icon

Katika Faida za Hadithi

  • Kutofaa kusoma Qur'ani kwa mwenye janaba mpaka aoge.
  • Kufundisha kwa vitendo.
explain-icon

Aina tofauti

  1. Nyumbani
  2. Qur'an tukufu na Elimu zake
  3. Pekuziza Qu'an kiujumla.
  4. Hukumu za Qur'an na Misahafu.
  5. Hadithi
  1. Nyumbani
  2. Qur'an tukufu na Elimu zake
  3. Pekuziza Qu'an kiujumla.
  4. Adabu za Usomaji Qur;an na Ubebaji wa Qur'an.
  5. Hadithi
  1. Nyumbani
  2. Fiq'hi na misingi yake.
  3. Fiq'hi- Ufahamu- wa Ibada mbalimbali.
  4. Twahara - usafi-
  5. Kuoga.
  6. Hadithi
explain-icon

Ziada

  • Atakayekuja miongoni mwenu kwa ajili ya Ijumaa basi na aoge
  • walikuwa wakitusomea Aya kumi kutoka kwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake-, hivyo hawakuwa wakichukua Aya kumi zingine mpaka wawe wamekwishayafanyia kazi yaliyo ndani ya aya hizo kumi kwa kujifunza na kuyafanyia kazi
  • Hakika mfano wa mtu wa Qur'ani ni sawa na mfano wa mmiliki wa ngamia aliyeachwa pasina kufungwa, akimuangalia kila mara atamzuia (kutoroka), na akimuachilia atatoroka
  • Alikuwa Mtume Rehema na amani ziwe juu yake anapooga kwa ajili ya janaba, anaosha mikono yake, na anatawadha udhu wake ule wa swala, kisha anaoga
logo

Mkusanyiko wa Hadithi za Mtume zilizotafsiriwa

Mradi huu unalenga uwezeshaji wa kupatikana Uchambuzi wa kina na Tarjama zilizo wazi za Hadithi za Mtume zilizo sahihi.

Upangiliaji mkuu

  • Qur'an tukufu na Elimu zake
  • Hadithi na Elimu zake
  • Akida- Itikadi-
  • Fiq'hi na misingi yake.
  • Mambo mazuri na Adabu- Heshima.
  • Daa'awa na(kujitolea) kuamrisha mema nakukataza mabaya
  • Historia na Taarekh.

Important Websites

  • Bayan Al islam
  • The holy quran encyclopedia
  • Developers API
logo