Imepokewa kutoka kwa Bin Omar -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake na baba yake- kutoka kwa Mtume Rehema na amani ziwe juu yake-amesema: "Punguzeni sharubu na mfuge ndevu".
Sahihi - Wamekubaliana Bukhari na Muslim juu ya usahihi wake
Anaamrisha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kupunguza sharubu na zisiachwe bali zipunguzwe, na azidi kupunguza zaidi.
Na pamoja na hilo anaamrisha kufuga ndevu na kuziacha zikichanua.