Kutoka kwa Anasi bin Maliki -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Hadithi Marfu'u: Alieleza Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- "kwamba yeye atakuja asujudu kwa Mola wake na amtukuze [hatoanza na kuomba utetezi kwanza], kisha ataambiwa: "Nyanyua kichwa chako na sema yasikilizwe, na omba upewe, na taka utetezi utetewe". Sahihi - Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim