Ameeleza Mtume rehema na amani ziwe juu yake ya kuwa hawatoacha watu katika Umma wake kuendelea kuwepo, na kuwashinda wanaopingana nao, na hilo litaendelea mpaka iwajie amri ya Mwenyezi Mungu kwa kuchukuliwa roho zao mwisho wa zama za dunia kabla ya kusimama kwa Kiyama.